Joseph K. Malongo ni diwani aliyemaliza muda wake kwa tiketi ya CCM. Ametubu. Ameziacha dhambi zake. Amehamia CHADEMA.


Ni diwani wa kata ya Nata - jimbo la Nzega, amehama na kundi kubwa la wanachama akiwemo mchumi wa CCM kata na aloyekuwa m/kiti wa nata.

Tumewakaribisha, Tumewasamehe dhambi zao. Tunaendelea na ukombozi.


Chanzo: Jamii Forums.
Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

Asante kwa kutembelea mtandao huu

16 Jul 2015

Post a Comment

Emoticon
:) :)) ;(( :-) =)) ;( ;-( :d :-d @-) :p :o :>) (o) [-( :-? (p) :-s (m) 8-) :-t :-b b-( :-# =p~ $-) (b) (f) x-) (k) (h) (c) cheer
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.

 
Top