Joseph K. Malongo ni diwani aliyemaliza muda wake kwa tiketi ya CCM. Ametubu. Ameziacha dhambi zake. Amehamia CHADEMA.


Ni diwani wa kata ya Nata - jimbo la Nzega, amehama na kundi kubwa la wanachama akiwemo mchumi wa CCM kata na aloyekuwa m/kiti wa nata.

Tumewakaribisha, Tumewasamehe dhambi zao. Tunaendelea na ukombozi.


Chanzo: Jamii Forums.
Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

Asante kwa kutembelea mtandao huu

Post a Comment

 
Top