![]() |
WAZIRI wa Mambo ya ndani ya Kenya, Joseph Nkaissery: KATUUU!! HATUSALIMU AMRI!!! |
Home
»
matukio
» SERIKALI YA KENYA YAWATUNISHIA MISULI MAGAIDI!! YAKATAA KUSALIMU AMRI, MISRI NAKO, MHH!!!!
Nkaissery
alisema hayo jana katika Chuo Kikuu cha Garissa, kaskazini mwa nchi hiyo ikiwa
ni siku moja tu baada ya wanamgambo wa al Shabab kuvamia majengo ya chuo hicho,
kuua kigaidi wanafunzi 147 na kujeruhi makumi ya wengine katika chuo hicho.
Waziri
wa mambo ya Ndani wa Kenya ameongeza kuwa, serikali ya Kenya kamwe haitasalimu
amri mbele ya makundi hayo ya kigaidi ambayo yanafanya mauaji dhidi ya watu
wasio na hatia.
Akiashiria
juu ya azma ya serikali katika kukabiliana na makundi ya kigaidi, Joseph
Nkaissery amesema kuwa, maafisa usalama kwa kushirikiana na jeshi la Kenya
wanaendelea na operesheni kali dhidi ya wanachama wa kundi hilo la kigaidi.
Hii
ni katika hali ambayo Rais Hassan Sheikh Mohamoud wa Somalia ametoa mkono wa
pole kwa serikali na wananchi wa Kenya juu ya shambulizi hilo la kutisha nchini
Kenya, na amesisitizia udharura wa nchi yake na serikali ya Nairobi kuzidisha
ushirikiano wao wa kiusalama dhidi ya wanachama wa kundi hilo la kigaidi.
NCHINI
MISRI NAKO KUMEKUCHA!!! JESHI LATEKETEZA 100!!!
Watu
100 wameuawa katika mashambulizi makali ya anga ya yaliyofanywa na helikopta za
jeshi la Misri dhidi ya maeneo ya wanamgambo katika Peninsula ya Sinai
kaskazini mwa nchi hiyo.
Kwa
mujibu wa ripoti hiyo watu 100 wameuawa katika mashambulizi hayo yaliyofanywa
na helikopta aina ya Apache dhidi ya maeneo ya wanamgambo na kwamba makumi ya
wengine wamejeruhiwa vibaya.
Kabla
ya hapo, watu 40 waliripotiwa kuuawa katika mashambulizi hayo ya anga ya jeshi
la Misri.
Mashambulizi
hayo yamefanyika ikiwa ni siku moja baada ya watu wenye silaha kuvamia vituo
viwili vya upekuzi katika eneo hilo na kuua askari 15 wa nchi hiyo na
kujeruhiwa raia wengine wawili. Itakumbukwa kuwa tarehe 31 Januari mwaka huu,
Rais Abdel.
Source:
Radio Tehran
Soma Pia Habari Hizi Hapa
- HABARI ZA HIVI PUNDE: PAPA FRANCIS ATEMA "CHECHE" VATICAN, ATETEA AFYA ZA WAUMINI10 Nov 20170
Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...Read more ?
- KIVULINI WAADHIMISHA SIKU YA MTOTO WA KIKE KWA KUTOA MAFUNZO KWA WANAMABADILIKO - SHINYANGA.11 Oct 20170
Normal 0 false false false MicrosoftInternetExplorer4...Read more ?
- WANA CHADEMA KANDA YA SERENGETI WATOA TAMKO LA KUMLAANI MTU ASIYEJULIKANA10 Sep 20170
Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...Read more ?
- MAAJABU YA DUNIA, ETI MBU NAO HUVUTIWA NA VITU VITAMU!!!24 Aug 20170
Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...Read more ?
- BREAKING NEWS: MOTO WATEKETEZA MABANDA YA MBAO SHINYANGA29 Apr 20170
Moja ya banda la kuuzia mbao katika eneo la Soko la Kambarage manispaa ya Shinyanga likiwa lote ...Read more ?
- HABARI NYEPESI NYEPESI: BAADA YA HALI KUWA NGUMU, WAZAZI SASA KULIPA KARO ZA SHULE KWA MBUZI NA KONDOO!!23 Apr 20170
Normal 0 21 false false false SW X-NONE X-NONE ...Read more ?
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.