Fahali avutishwa bangi kupigana

Fahari aliyepewa jina la Messi alimcharaza mpinzani wake Simba na kudhihirisha ubabe wake.

Fahari huyo alipewa jina hilo la utani la Messi kuonyesha umarufu wake wa kupigana kama mchezaji hodari wa kandanda wa klabu ya Barcelona Lionel Messi.

Pigano hilo la mafahali wawili lilifanyika katika uwanja wa Bukhungu kaunti ya Kakamega eneo la magharibi nchini Kenya mwishoni mwa wiki iliyopita.

Hata hivyo baadae ilibainika kuwa katika pamoja hilo fahali mmoja alivutishwa bangi ili ashinde pambano.

BBC News.
Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

Asante kwa kutembelea mtandao huu

Post a Comment

 
Top