Angola
imeripoti visa viwili vya kwanza vya ugonjwa wa Zika kwa mujibu wa shirika la
Reuters.
"Hadi
miezi miwili iliyopita, hatukuwa na kisa chochote, lakini sasa tuna visa viwili
vya Zika," Reuters ilimnukuu waziri wa afya wa nchi hiyo José Luis Gomes
Sambo.
Lazima tuchukue
hatua za kuzuia, hasa katika kukabiliana mbu."
Zika ni ugonjwa
unaosambazwa na mbu na umesembaa kwenda nchi kadha tangu uibuke nchini Brazil
mwaka 2015.
Ugonjwa huo
unaaminiwa kusababisha madhara kwa watota wanaozaliwa.
Chanzo: BBC Swahili
Soma Pia Habari Hizi Hapa
- SHIRIKA LA AGAPE LAFUNGUA OFISI NDOGO WILAYA YA IRAMBA SINGIDA19 May 20180
Normal 0 false false false MicrosoftInternetExplorer4...Read more ?
- NAIBU WAZIRI KWANDIKWA AAHIDI NEEMA YA BARABARA JIMBONI USHETU30 Jan 20180
Normal 0 false false false MicrosoftInternetExplorer4...Read more ?
- BREAKING NEWS: RAIS MAGUFULI ATEUA GAVANA MPYA WA BENKI KUU NCHINI23 Oct 20170
Profesa Benno Ndulu. RAIS Dkt. John Pombe Magufuli leo hii amemteua Profesa Florenss Luoga kuwa ...Read more ?
- BREAKING NEWS: MANJI AACHIWA HURU, SERIKALI YASEMA HAINA SHIDA YA KUENDELEA NA KESI14 Sep 20170
Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...Read more ?
- PROGRAM YA "USAWA WA KIJINSIA KUJENGA UWEZO KIUCHUMI WANAWAKE NA VIJANA YAZINDULIWA SHINYANGA.05 Sep 20170
Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...Read more ?
- WAZAZI/WALEZI WATAJWA KUWA CHANZO CHA KUPOROMOKA MAADILI YA VIJANA NCHINI27 Jun 20170
BAADHI ya wazazi nchini wametajwa kuwa chanzo cha kuporomoka kwa maadili kwa watoto w...Read more ?
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.