Mmoja wa watu waliouawa katika tukio la kutisha.
Watu wanaodhaniwa kuwa majambazi yamevamia Kituo cha Polisi cha Stakishari , Ukonga, Dar es Salaam na kuuwa askari wanne na raia wawili akiwemo mmoja ambaye inadaiwa naye ni jambazi.


Pia katika tukio hilo lililotokea majira ya saa nne usiku jana, majambazi hao wanadaiwa kupora zaidi ya bunduki 15. Watoto waliohifadhiwa kituoni hapo kwa ajili ya kuwatafuta ndugu zao, inadaiwa wamenusurika.

Kwa mujibu wa mashuhuda walidai kuwa mapambano ya uvamizi huo yalidumu kwa takribani saa moja.

Kwa mujibu wa taarifa za awali ambazo bado hazijathibitishwa na Jeshi la Polisi ni kwamba watu hao walifika kituoni hapo wakiwa katika pikipiki wakidai kwamba walikuwa wamembeba mtu aliyepata ajali wakihitaji msaada wa polisi kabla ya kuwabadilikia ghafla na kuanza kuwashambulia kwa risasi.

Tayari hivi sasa katika eneo hilo limewekwa alama za usalama na barabara zinazoingia katika kituo hicho zimefungwa.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Saidi Sadick ameshafika na Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Raymond Mushi, pia amewasili kituoni hapo kujua kulikoni Mtandao huu uliongea na Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Suleiman Kova alisema atakuwa na mkutano na wanahabari kati ya saa 5 au 6 leo kwa ajili ya kutoa taarifa rasmi juu ya tukio hilo la kigaidi.

Source: Mwaikenda blog.

Watu wanaodhaniwa kuwa majambazi yamevamia Kituo cha Polisi cha Stakishari , Ukonga, Dar es Salaam na kuuwa askari wanne na raia wawili akiwemo mmoja ambaye inadaiwa naye ni jambazi. Pia katika tukio hilo lililotokea majira ya saa nne usiku jana, majambazi hao wanadaiwa kupora zaidi ya bunduki 15. Watoto waliohifadhiwa kituoni hapo kwa ajili ya kuwatafuta ndugu zao, inadaiwa wamenusurika. Kwa mujibu wa mashuhuda walidai kuwa mapambano ya uvamizi huo yalidumu kwa takribani saa moja. Kwa mujibu wa taarifa za awali ambazo bado hazijathibitishwa na Jeshi la Polisi ni kwamba watu hao walifika kituoni hapo wakiwa katika pikipiki wakidai kwamba walikuwa wamembeba mtu aliyepata ajali wakihitaji msaada wa polisi kabla ya kuwabadilikia ghafla na kuanza kuwashambulia kwa risasi. Tayari hivi sasa katika eneo hilo limewekwa alama za usalama na barabara zinazoingia katika kituo hicho zimefungwa. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Saidi Sadick ameshafika na Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Raymond Mushi, pia amewasili kituoni hapo kujua kulikoni Mtandao huu uliongea na Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Suleiman Kova aliyesema atakuwa na mkutano na wanahabari kati ya saa 5 au 6 leo kwa ajili ya kutoa taarifa rasmi juu ya tukio hilo la kigaidi.

Copy and WIN : http://ow.ly/KNICZ

Watu wanaodhaniwa kuwa majambazi yamevamia Kituo cha Polisi cha Stakishari , Ukonga, Dar es Salaam na kuuwa askari wanne na raia wawili akiwemo mmoja ambaye inadaiwa naye ni jambazi.

Pia katika tukio hilo lililotokea majira ya saa nne usiku jana, majambazi hao wanadaiwa kupora zaidi ya bunduki 15. Watoto waliohifadhiwa kituoni hapo kwa ajili ya kuwatafuta ndugu zao, inadaiwa wamenusurika.

Kwa mujibu wa mashuhuda walidai kuwa mapambano ya uvamizi huo yalidumu kwa takribani saa moja.

Kwa mujibu wa taarifa za awali ambazo bado hazijathibitishwa na Jeshi la Polisi ni kwamba watu hao walifika kituoni hapo wakiwa katika pikipiki wakidai kwamba walikuwa wamembeba mtu aliyepata ajali wakihitaji msaada wa polisi kabla ya kuwabadilikia ghafla na kuanza kuwashambulia kwa risasi.

Tayari hivi sasa katika eneo hilo limewekwa alama za usalama na barabara zinazoingia katika kituo hicho zimefungwa.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Saidi Sadick ameshafika na Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Raymond Mushi, pia amewasili kituoni hapo kujua kulikoni Mtandao huu uliongea na Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Suleiman Kova alisema atakuwa na mkutano na wanahabari kati ya saa 5 au 6 leo kwa ajili ya kutoa taarifa rasmi juu ya tukio hilo la kigaidi.

Source: Mwaikenda blog.

Watu wanaodhaniwa kuwa majambazi yamevamia Kituo cha Polisi cha Stakishari , Ukonga, Dar es Salaam na kuuwa askari wanne na raia wawili akiwemo mmoja ambaye inadaiwa naye ni jambazi. Pia katika tukio hilo lililotokea majira ya saa nne usiku jana, majambazi hao wanadaiwa kupora zaidi ya bunduki 15. Watoto waliohifadhiwa kituoni hapo kwa ajili ya kuwatafuta ndugu zao, inadaiwa wamenusurika. Kwa mujibu wa mashuhuda walidai kuwa mapambano ya uvamizi huo yalidumu kwa takribani saa moja. Kwa mujibu wa taarifa za awali ambazo bado hazijathibitishwa na Jeshi la Polisi ni kwamba watu hao walifika kituoni hapo wakiwa katika pikipiki wakidai kwamba walikuwa wamembeba mtu aliyepata ajali wakihitaji msaada wa polisi kabla ya kuwabadilikia ghafla na kuanza kuwashambulia kwa risasi. Tayari hivi sasa katika eneo hilo limewekwa alama za usalama na barabara zinazoingia katika kituo hicho zimefungwa. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Saidi Sadick ameshafika na Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Raymond Mushi, pia amewasili kituoni hapo kujua kulikoni Mtandao huu uliongea na Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Suleiman Kova aliyesema atakuwa na mkutano na wanahabari kati ya saa 5 au 6 leo kwa ajili ya kutoa taarifa rasmi juu ya tukio hilo la kigaidi.

Copy and WIN : http://ow.ly/KNICZ
Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

Asante kwa kutembelea mtandao huu

Post a Comment

 
Top