Takriban wanajeshi 23 wa Urusi wameuawa karibu na mji wa Omsk ulioko Siberia baada ya jengo la kambi ya kijeshi kuporomoka.
Wanajeshi wengine 19 waliokolewa kutoka kwa vifusi vya jengo hilo.
Mwanajeshi mmoja aliyeokolewa ameileza runinga ya Urusi kwamba wanajeshi walikuwa wamelala wakati wa ajali hiyo.
Picha
za televisheni zilionyesha sehemu ya jengo hilo la ghorofa nne likiwa
limeharibika kabisa huku wanajeshi wakishirikiana kuondosha vifusi.
Mwandishi
wa BBC Moscow amesema inadhaniwa kwamba ukarabati duni uliofanyika
mwaka jana ndio uliosababisha kuporomoka kwa jengo hilo.
CHANZO: BBC Swahili News.
Soma Pia Habari Hizi Hapa
- HABARI ZA HIVI PUNDE: PAPA FRANCIS ATEMA "CHECHE" VATICAN, ATETEA AFYA ZA WAUMINI10 Nov 20170
Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...Read more ?
- KIVULINI WAADHIMISHA SIKU YA MTOTO WA KIKE KWA KUTOA MAFUNZO KWA WANAMABADILIKO - SHINYANGA.11 Oct 20170
Normal 0 false false false MicrosoftInternetExplorer4...Read more ?
- WANA CHADEMA KANDA YA SERENGETI WATOA TAMKO LA KUMLAANI MTU ASIYEJULIKANA10 Sep 20170
Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...Read more ?
- MAAJABU YA DUNIA, ETI MBU NAO HUVUTIWA NA VITU VITAMU!!!24 Aug 20170
Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...Read more ?
- BREAKING NEWS: MOTO WATEKETEZA MABANDA YA MBAO SHINYANGA29 Apr 20170
Moja ya banda la kuuzia mbao katika eneo la Soko la Kambarage manispaa ya Shinyanga likiwa lote ...Read more ?
- HABARI NYEPESI NYEPESI: BAADA YA HALI KUWA NGUMU, WAZAZI SASA KULIPA KARO ZA SHULE KWA MBUZI NA KONDOO!!23 Apr 20170
Normal 0 21 false false false SW X-NONE X-NONE ...Read more ?
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.