Maelfu ya wakazi wa Iringa mjini wakiwa katika mkutano wa hadhara.

CCM walikula ya mbuzi wakaota mapemba.
Huo ni mkutano wa hadhara unaoendelea hapa Iringa mjini ukiongozwa na mchungaji Peter Msigwa Iringa mjini pamenuka CCM jiandaeni kuwa wapinzani sio kila chenye manyoya kinaliwa.

Wapi Mwakalebela siasa sio mpira, wapi John Pombe Magufuri siasa sio kukariri desmal na kilomita za barabara tuonane October 25, 2015.

shikamoo chadema!!!
Source: Mdude Chadema.
Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

Asante kwa kutembelea mtandao huu

Post a Comment

 
Top