TAARIFA KUTOKA IKULU:

Jina la Dkt. Leonard M. Massale limeingizwa kimakosa katika orodha ya wakurugenzi kama mkurugenzi wa Manispaa ya Dodoma na kwasababu hiyo Dkt Leonard Moses Massale anaendelea kuwa Mkuu wa Wilaya ya Ilemela Mkoani Mwanza.

 
Chanzo:  EATV
Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

Asante kwa kutembelea mtandao huu

Post a Comment

 
Top